Mbagala lyrics

Mhhh, mmmhhhh
Verse 1
Busara na upole
Na hekima niliyorithi kutoka kwa mama yangu, Mama
Vyote hukuvijali, huk’ona silingani kabisa kuwa na wewe
Kwa kuti na mkole, ukakata kabisa na shina la penzi langu mama
Eti kisa maali, ukaona bora uniache mimi na uolewe
Ile siku shekhe namuona anachoma ubani
Unavishwa pete unakua mke wa fulani
N'liumia sanaa, sanaa
Ile siku shekhe namuona anachoma ubani
Unavishwa pete unakua mke wa fulani
Niliumia sanaa, niliumia sanaa, sanaa
Chorus 2x
Tatizo kwetu mbagala, hapa nyumba mbele jalalaaa
Tatizo kwetu mbagala, uk'ona mapenzi siwezi
Verse 2
Ungejua jinsi gani
Machozi n'livyolia kwa uchungu wa penzi langu na
Mwenzio jinsi gani, vile nimeumia moyoni
Hata kupendwa sitamani
Utamu wa mapenzi mwenzako umekula kwangu ma
Mwenzio sitamaani, hata raha tena mi sioni
Naskia hivi sasa una mtoto anaitwa mamu
Vile akinuna mpaka tabasamu
M'mefanana sana..a, sana..a
Mi mwenzako tena mapenzi mi sina hamu
Tena nna mpango wa kuhama Dar Es Salaam
Nataka niende mba..ali, niepuke vita na walimwengu
Mi mwenzenu siwezi
Repeat Chorus 2x
Mbagala, mbagala, mbagala, mbagala
uk'ona mapenzi siwezi
Mbagala (mbagala), mbagala (mbagala), mbagala (mbagala), mbagala
uk'ona mapenzi siwezi
Repeat Chorus 2x
I'm back, ladies, I'm back
Bob Junior
Mr. Chocolate Flava
Yo, I'm back, Diamond, I'm back

Comments

  1. thanx @felix hurn very correct mno!!!!!!

    ReplyDelete
  2. asanti kwa hii nyimbo mbagala minaipenda sana tena sana..a

    ReplyDelete
  3. i love diamond very much please may i meet him iam rwandan i live in Rubavu Dc , Gisenyi Sector, Near Lake Kivu At Selena Hotel my email is #kwizerajeandedieu4@gmail.com
    @yahoo:kwizerajd02@yahoo.fr
    @twitter:kwizerajeandeD8.
    please tell me i love u so much best fan.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular Posts